Tuesday, May 20, 2008

NEW SEASON

HII NI BLOG ILIYOJIKITA HUSUSANI KWA WATU WANAOPITIA MATATIZO MAZITO
KATIKA MAISHA NA HAWAONI JAWABU.

  • Unatumia madawa ya kulevya,yameshaanza kukudhoofisha na unahitaji kuacha lakini unashindwa?
  • Umeambukizwa ukimwi,na mara baada yakujua mipango yako yote ghafla imeyeyuka?
  • Wewe ni msichana umeteleza na kupata ujauzito,wazazi wako hawataki kukuona,shuleni umefukuzwa na jamii inayokuzunguka inakuona wewe ni muhuni/malaya na unatamani kutoa mimba au kujiua?
  • Labda una watu wanakutegemea na umetafuta kazi umekosa?
  • Unataka kuwa na kiwango fulani cha elimu,lakini kila ukifanya mitihani unafeli?
  • Wewe ni mfanyabiasha,lakini biashara yako haikui wala faida haionekani

BLOG HII ITAKUTAFUTIA WATU WALIOPITIA HALI KAMA YAKO,NA KWA NAMNA MOJA AU NYINGINE WAKATOKA KATIKA HALI HIYO.usiache kutembelea blog hii

No comments: